Kituo cha Afya Bitale kiko kwenye Ujenzi wa kukifanya kuwa kituo cha Afya cha kisasa. Hii ni baada ya kupata Fedha Milioni Mia Nne (400,000,000/=) toka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Baada ya kukamilika, kinategemewa kutoa huduma za X-Rays, Ultra Sound na kuwepo kwa chumba cha Maiti (Mortuary).
P.O.Box 332, KIGOMA
Postal Address: THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Telephone: 028 280 271 9
Mobile: +255 767 682 782
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa